TFF NA WIZARA YA MAJI KUKUZA MICHEZO NCHINI
NA MWANDISHI-MOROGORO. SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini(TFF) kwa kushirikiana na Wizara za Maji wameanzisha mashindano ya mpira wa miguu yanayozihushisha Mamlaka za Maji nchini (Maji Cup) ili kuhakikisha mamlaka hizo zinakuwa na timu zao. Hayo yalisemwa na Meneja wa soka la vijana wa TFF Boniface Pawasa mkoani hapa ambapo alizipongeza mamlaka hizo za maji
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed